Nina furaha ya kumualika kwenye MSHAIRIKASTI mshairi kijana na mwenye kipaji wa Kiswahili kutoka Tanzania, Bashiru Abdallah, ambaye amechapisha diwani yake ya pili iitwayo Wino wa Dhahabu.
I am very glad to invite to THE POETCAST the young talented Swahili poet from Tanzania, Bashiru Abdallah, who has recently published his second book, Wino wa Dhahabu (The Golden Ink).